sw_tn/dan/04/17.md

720 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza

Ni uamuzi uliofanya na yeye aliye mtakatifu

Kauli hii yaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Yeye aliye mtakatifu amefanya uamuzi."

mtakatifu

Kirai hiki huenda kinawarejelea Malaika. "Malaika watakatifu"

hao walio hai

"kila mtu aliye hai" au "kila mtu"

huwapa

"huwapa falme"

Belteshaza

Hili ni jina ambalo Wababeli walimpa Danieli.

anayeweza kunitafsiria

"wewe unaweza kuitafsiri ndoto"

roho ya miungu watakatifu

Nebukadneza aliamini kuwa nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo yey aliiabudu. Hii haina maana moja na "yey aliye mtakatifu" katika mstari wa 17.