sw_tn/dan/04/13.md

477 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza.

niliona katika akili zangu

Hii inarejelea kitendo cha kuiona ndoto au maono.

Alipiga kelele na kusema

Inaweza kuwekwa wazi kwamba mjumbe mtakatifu alikuwa akiongea na mtu zaidi ya mmoja

Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege wapae mbali kutoka katika matawi yake.

"Wanyama watakimbia chini yake na ndege watapaa kutoka katika matawi yake."