sw_tn/dan/04/10.md

684 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yakekutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza.

niliyoyaona

mambo ambayo unayoyaona

urefu wake ulikuwa ni mkubwa sana

"ulikuwa ni mrefu sana"

Na sehemu ya juu yake ilifika mbinguni, uliweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote.

Hii ni lugha ya mfano ambayo inatia chumvi juuu ya jinsi mti ulivyokuwa mrefu na jinsi ambavyo mti ulikuwa unajulikana. "Inaonekana kwamba sehemu ya juu ya ti ilifika angani na ya kwamba kila mtu katika dunia aliweza kuuona."

matunda yake yalikuwa ni mengi

"kulikuwa na matunda mengi katika mti"

chakula kwa ajili ya wote

"kilikuwa chakula cha watu wote na wanyama"