sw_tn/dan/04/04.md

570 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari ya 1-18 Nebukadneza anaelezea maono yake kutoka kwa Mungu kwa kutumia nafsi ya kwanza.

nilikuwa ninaishi kwa furaha katika nyumba yangu, na nilikuwa nikifurahia mafanikio

Virai hivi viwili viko sambamba na vinamaanisha kitu kile kile.

nyumba yangu ....ikulu yangu

Virai hivi kimsingi vina maana moja.

ndoto...taswira...maono...

Maneno haya yana maana moja tu kimsingi.

iliniogopesha....ilinitaabisha

Virai hivi viko sambasamba vina maana moja

watu wote wa Babeli walio na hekima

"wote wenye hekima katika Babeli"