forked from WA-Catalog/sw_tn
570 B
570 B
Maelezo ya jumla
Katika mistari ya 1-18 Nebukadneza anaelezea maono yake kutoka kwa Mungu kwa kutumia nafsi ya kwanza.
nilikuwa ninaishi kwa furaha katika nyumba yangu, na nilikuwa nikifurahia mafanikio
Virai hivi viwili viko sambamba na vinamaanisha kitu kile kile.
nyumba yangu ....ikulu yangu
Virai hivi kimsingi vina maana moja.
ndoto...taswira...maono...
Maneno haya yana maana moja tu kimsingi.
iliniogopesha....ilinitaabisha
Virai hivi viko sambasamba vina maana moja
watu wote wa Babeli walio na hekima
"wote wenye hekima katika Babeli"