sw_tn/dan/03/29.md

654 B

watu wote, taifa au lugha ambayo itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego lazima wakatwe vipande, na ya kwamba nyumba zao lazima zifanywe kuwa vichuguu vya uchafu

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "watumishi wangu watawaharibu watu wowote, taifa, au lugha... na kuzifanya nyumba zao kuwa vichuguu vya uchafu."

itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu

"kuongea maneno ambayo yamheshimu Mungu"

lazima wakatwe vipande

"kukatwa kwa miili yao katika vipande

hakuna mungu mwingine anayeweza kuokoa kama hivi

Muundo wa kubalifu waweza kutumika hapa. "Ni Mungu wao tu aweza kuwaokoa kama hivi"