sw_tn/dan/03/21.md

224 B

kilemba

Kilemba ni kipande cha nguo kinachovaliwa ili kufunika kichwa.

Kwasababu ya agizo la mfalme lilifuatwa

Maneno haya yweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "Kwasababu watu walilifuata agizo la mfalme kwa usahihi."