sw_tn/dan/03/01.md

552 B

urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa sita.

"urefu wa takribani mita 27 na upana upatao mita tatu"

uwanda wa Dura

Hii ni sehemu ndani ya ufalme wa Babeli.

magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji

Haya ni madaraja ya mamlaka juu ya himaya ya ukubwa fulani.

wahazini

hawa ni maafisa walikuwa wanawajibika kwa mambo ya fedha

sanamu aliyokuwa ameiweka

hii inamhusu Mfalme Nebukadneza ambaye aliweka sanamu iliyojengwa kana kwamba alijijenga mwenyewe. "Sanamu ambayo Nebukadneza aliwaagiza watu wake kuiweka."