sw_tn/dan/02/48.md

221 B

Alimfanya kuwa mtawala

"Mfalme alimfanya Danieli kuwa mtawala"

Shadraka...Meshaki....Abeddinego

Haya yalikuwa ni majina ya Kibabeli waliyopewa vijana watatu wa Kiyahudi walikuwa wameletwa Babeli pamoja na Danieli.