sw_tn/dan/02/44.md

638 B

Maelezo ya jumla

Danieli anaendelea kuongea na mfalme

katika siku za wafalme hao

Katika kifungu hiki maneno "wafalme hao" yanawarejelea watawala wa falme zinazooneshwa katika sehemu mbalimbali za sanamu

ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " kwamba hakuna hata mmoja ambaya ataangamizwa, na ya kwamba watu wengine hawatashinda."

jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "mtu fulani alilikata jiwa kutoka mlimani, lakini si mtu aliyelikata"

kuaminika

aminifu na sahihi