sw_tn/dan/02/34.md

691 B

Maelezo ya jumla

Danieli anaendelea kuongea na mfalme.

jiwe lilikuwa limechongwa, ingawa si kwa mikono ya wanadamu, na lili...

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji kama yatagawanywa katika sehemu mbili. "mtu fulani alilikata jiwe kutoka mlimani, lakini si mtu aliyelikata jiwe. Jiwe..."

kama makapi yaliyo katika sakafu za kupuria kipindi cha kiangazi

kirai hiki kinalinganisha vipande vya sanamu na vitu vidogo vilivyo vyepesi na ambavyo vinaweza kupeperushwa mbali na upepo. "kama vipande vikavu vya nyasi vinavyopeperushwa na upepo"

hakuna alama inayoachwa

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo chanya. "viliondolewa kabisa"

kuijaza dunia yote

"kuenea dunia yote"