sw_tn/dan/02/27.md

381 B

Siri ambayo mfalme ameiomba haiwezi kufunuliwa na watu wenye hekima, wala wale wenye kuongea na wafu, wala wachawi, na wala wataalamu wa nyota

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Wale wenye hekima, wale wenye kuongea na wafu, waganga na wanajimu hawawezi kufunua siri kuhusu kile mfalme alichokiomba"

Siri ambayo mfalme ameiomba

Kirai hiki knarejelea ndoto ya mfalme.