sw_tn/dan/02/19.md

246 B

Usiku ule siri ilifunuliwa

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Usiku ule Mungu aliifunua siri"

siri

hii inarejelea ndoto ya mfalme na tafsiri yake.

"Litukuzwa jina la Mungu

Hapa"jina" linamrejelea Mungu mwenyewe. "Mungu atukuzwe"