sw_tn/dan/02/17.md

267 B

nyumba yake

Hii inarejelea nyumba ya Danieli

kile kilichotokea

"kuhusu amri ya mfalme"

Aliwasihi kutafuta rehema

"Aliwaomba waombe huruma"

ili kwamba yeye na wao wasije wakauawa

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Ili kwamba mfalme asije akawaua"