sw_tn/dan/02/14.md

504 B

busara na umakini

Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ya ukubwa wa busara.

Arioki

Hili ni jina la kamanda wa mfalme.

walinzi

Hili ni kundi la watu ambao kazi yaoni kumlinda mfalme

ambaye alikuwa amekuja kuwaua

ambaye mfalme alikuwa amemtuma ili kuua"

Danieli aliingia ndani

Huenda Danieli alienda katika ikulu. "Danieli alienda katika ikulu"

akaomba ahadi ya muda wa kuonana na mfalme

"aliomba muda maalumu uliopangwa ili kukutana na mfalme"