forked from WA-Catalog/sw_tn
504 B
504 B
busara na umakini
Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ya ukubwa wa busara.
Arioki
Hili ni jina la kamanda wa mfalme.
walinzi
Hili ni kundi la watu ambao kazi yaoni kumlinda mfalme
ambaye alikuwa amekuja kuwaua
ambaye mfalme alikuwa amemtuma ili kuua"
Danieli aliingia ndani
Huenda Danieli alienda katika ikulu. "Danieli alienda katika ikulu"
akaomba ahadi ya muda wa kuonana na mfalme
"aliomba muda maalumu uliopangwa ili kukutana na mfalme"