sw_tn/dan/02/01.md

454 B

katika mwaka wa pili

"ndani ya mwaka wa pili"

alikuwa na ndoto

"Nebukadneza aliota ndoto"

akili yake ilisumbuka

Hapa neno "akili" linarejelea mawazo yake. "mawazo yake yalimsumbua"

na hakuweza kulala

Mawazo yake yaliyomsumbua yalimzuia asipate usingizi.

Ndipo mfalme alipowaita waganga

"kisha mfalme aliwaita waganga"

wafu

"watu waliokwisha kufa"

walikuja

"waliingia ndani ya ikulu"

walisimama mbele

"walisimama mbele ya "