sw_tn/dan/01/17.md

339 B

Mungu aliwapa uelewa na ufahamu

Hii inaweza kuongezwa ili kwamba nomino dhahania "Uelewa na ufahamu" zaweza kuelezwa kwa kutumia vitenzi "kujifunza na kufahamu" yaani "Mungu aliwapa uwezo wa kujifunza na kufahamu kwa uwazi"

maandiko yote na hekima

Haya ni maneno ya kutia chumvi kuonesha kwamba walikuwa na elimu na ufahamu mzuri