forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
455 B
Markdown
12 lines
455 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Baada ya kuongea na mabwana, Paulo anamalizia maelekezo yake maalumu kwa waamini tofauti tofauti katika kanisa la Kolosai.
|
|
|
|
# haki na adili
|
|
|
|
Haya maneno ni kama kitu kile kile na yametumika kusisitiza vitu ambavyo ni maadili sahihi.
|
|
|
|
# mnaye bwana wa mbinguni
|
|
|
|
Mungu anataka mahusiano kati ya bwana wa dunia na mtumwa wake wampende Mungu, bwana wa mbinguni, anawapenda watumwa wake wa duniani pamoja na watumwa wa mabwana wa dunia.
|