sw_tn/col/04/01.md

12 lines
455 B
Markdown

# Sentensi Unganishi:
Baada ya kuongea na mabwana, Paulo anamalizia maelekezo yake maalumu kwa waamini tofauti tofauti katika kanisa la Kolosai.
# haki na adili
Haya maneno ni kama kitu kile kile na yametumika kusisitiza vitu ambavyo ni maadili sahihi.
# mnaye bwana wa mbinguni
Mungu anataka mahusiano kati ya bwana wa dunia na mtumwa wake wampende Mungu, bwana wa mbinguni, anawapenda watumwa wake wa duniani pamoja na watumwa wa mabwana wa dunia.