sw_tn/col/03/15.md

946 B

Amani ya Kristo iwaongoze katika mioyo yenu

Paulo anazungumzia amani ambayo Kristo atoayo kana kwamba ilikuwa sheria. inaweza kuwa 1) "fanyeni mabo yote ili kwamba muweza kuwa na mahusiano ya amani kwa hiyo mnaweza kuwa na mahusiano ya amani na kila mmoja" au 2) "Mruhusu Mungu akupe amani kwenye mioyo yenu"

katika mioyo yenu

Neno "Yenu" lina rejea kwa waumini wa Kolosai.

Neno la Kristo likae ndani yenu

Paulo anzungumzia neno la Kristo kama lilikuwa mtu anayeweza kuishi ndani ya mtu mwingine. "siku zote tumaini ahadi za Kristo"

peaneni mawaidha ninyi kwa ninyi

"peaneni tahadhari ninyi kwa ninyi"

ni kwa Zaburi na nyimbo na tenzi za roho

"pamoja na aina zote za nyimbo kumsifu Mungu"

shukurani katika mioyo yenu

"mioyo ya shukurani"

katika maneno na katika matendo

kuongea au kufanya

"katika jina la Bwana Yesu"

"kumwabudu Bwana Yesu" au "pamoja na mamlaka ya Bwana Yesu"

kupitia yeye

"kupitia Bwana Yesu"