sw_tn/col/02/18.md

1.2 KiB

mtu yeyote...asidhulumiwe tuzo yake

"mtu yeyote asidanganywe juu ya tuzo yake."

anayetamani unyenyekevu

Neno "unyenyekevu" linasimama badala kwa ajili ya matendo mwingine anawafanya wengine kufikiria kwamba mwingine ni mnyenyekevu. "anayetaka kufanya mambo kuonyesha kwamba wewe ni mnyenyekevu

kuingia kwenye vitu alivyoviona

Hapa Paulo anazungumzia kuhusu watu wanaojiita kuwa na ndoto na maono kutoka kwa Mungu na wanaongea kwa majivuno kuhusu weneyewe.

kushawishiwa na mawazo yake ya kimwili

Hapa Paulo anasema kwamba hali ya kufikiria kaatika hali ya dhambi hufanya mtu awe na kiburi. "anayejiunua kwa maana ya ya mawazo yake ya mwili"

kushawishiwa

Hapa ni mtu anayejivuna anazungumziwa kana kwamba ndani ya chombo ambacho kilichokuwa na hewa kufanya kirefu kuliko kilivyotakiwa kuwa.

mawazo yake ya mwilini

Hii inamaanisha kufikiri kama mtu wa kawaida au mwenye dhambi badala ya kama mtu wa rohoni.

yeye hana shirika na

"Yeye hashikilii kwa nguvu" au "Yeye hatulii katika," kama vile mtoto awategemeavyo wazazi wake

Kristo, aliye kichwa, ambaye katika yeye mwili wote umeunganishwa kwa mishipa na mifupa

Mfano huu hulinganisha mamlaka ya Kristo juu ya kanisa na kichwa cha mwanadamu ambacho kinaongoza na kusimamia mwili wote.