forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.4 KiB
Markdown
40 lines
1.4 KiB
Markdown
# Natimiliza katika katika mwili wangu kile kinachopungua kwa mateso ya Kristo
|
|
|
|
Paulo anazungumzia mateso anayoendelea kuyapata. Yawezekana alikuwa anateseka mno ambapo yeye na Wakristo wote lazima wapitie kabla Kristo hajaja tena, na kwamba Krsito hupata pamoja nao kiroho haya magumu.
|
|
|
|
# Natimiliza katika mwili wangu
|
|
|
|
Paulo anazungumzia mwili wake kana kwamba kilikuwa chombo cha kubebea ambacho kingeweza kubebea mateso.
|
|
|
|
# kwa ajili ya ajili mwili wake , ambao ni kanisa
|
|
|
|
mara nyingi Paulo anazungumzia kanisa, kundi la waamini wote, kana kwamba ulikuwa mwili wa Kristo.
|
|
|
|
# kulijaza neno la Mungu
|
|
|
|
Hii inamaana kuleta lengo la ujumba wa injili ya Mungu, ambayo inatakiwa kuhubiriwa na kuaminiwa.
|
|
|
|
# Huu ni ukweli wa siri uliokuwa umejificha
|
|
|
|
Hii inaweza katika muundo kamili. "huu ni ukweli ambao Mungu alikuwa ameuficha"
|
|
|
|
# kwa miaka mingi na vizazi na kwa miaka
|
|
|
|
Neno "miaka" na "vizazi" inarejelea kwenye kipindi tangu uumbaji wa dunia mpaka kipindi wakati inijili ilipohibiriwa.
|
|
|
|
# sasa imefunuliwa
|
|
|
|
"sasa Mungu ameifunua"
|
|
|
|
# utajiri wa utukufu wa siri ya kweli
|
|
|
|
Paulo anazungumzia thamani hii siri ya ukweli Mungu kana kwamba kulikuwa na hazina ya kupata malighafi. "utajiri"
|
|
|
|
# Kristo yumo ndani yenu
|
|
|
|
Paulo anawazungumzia waamni kana kwamba walikuwa vyombo vya kubebea ambapo Kristo yupo. Hii ni moja ya njia yake kuelezea umoja wa waamini pamoja Kristo.
|
|
|
|
# Ujasiri wa utukufu ujao
|
|
|
|
"ambao mnaweza utarajiwao kusemwa kwa utukufu wa Mungu"
|