forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
716 B
Markdown
28 lines
716 B
Markdown
# Yeye ni kichwa
|
|
|
|
"Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ni kichwa."
|
|
|
|
# Yeye ni kichwa cha kanisa, yaani mwili wake
|
|
|
|
Hii inalinganisha nafasi ya Yesu kwa kanisa kama kichwa katika mwili wa kibinadamu.
|
|
|
|
# Mwanzilishi
|
|
|
|
yeye ni mtawala wa kwanza au mwanzilishi. Yesu alianzisha wa kanisa
|
|
|
|
# Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu
|
|
|
|
Yesu ni mtu wa kwanza kufa na kurudi katika uhai, hatakufa tena.
|
|
|
|
# Mwana
|
|
|
|
Hii ni jina muhimu sana kwa Yesu, mwana wa Mungu.
|
|
|
|
# Kupitia damu ya mwana ya msalaba wake
|
|
|
|
asili yaneno "Kupitia" ni wazo la mtiririko au njia, inaonyesha kwamba Mungu huleta amani na upatanisho kwa watu kwa damu ya Yesu alipokufa msalabani.
|
|
|
|
# damu ya msalaba wake
|
|
|
|
Hapa "damu" inasimama badala kifo cha Kristo msalabani.
|