sw_tn/col/01/01.md

673 B

Sentensi Unganishi:

Kupitia barua hii ni kutoka kwa Paulo na Timotheo kwa waumini wa Kolosai, baadaye kwenye barua Paulo anaweka bayana kwamba yeye ndiye mwandishi. Huenda alikuwa na Timotheo na kuandika maneno chini Paulo kama mzungumzaji.

Maelezo ya Jumla:

Kupitia hii barua maneno "sisi," "yetu," na "yakwetu" pamoja na Wakolosai vingenevyo yameandikwa tofauti. Neno "ninyi," "yenu," "yakwenu" yanawahusisha waumini Wakolosai na hivyo ni katika wingi vinginevyo yameandikwa tofauti.

Mtume wa Yesu Krist kwa mapenzi ya Mugu

"Aliyechaguliwa na Mungu kuwa mtume wa Yesu Kristo"

Tunatoa...Bwana wetu...sisi mara kwa mara

Haya maneno hayawajumuishi Wakolosai.