sw_tn/amo/06/09.md

402 B

ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba,..."Je...wewe?

Mana ya haya maneno hayako wazi. "Ndugu wa huyo mtu" ni yule atakaye "chukua miili yao" na kuichoma...maiti," na akaongea na yule aliyejificha katika nyumba baada ya watu wa familia kumi kufa.

choma

choma maiti

maiti

miili iliyokufa