sw_tn/amo/04/01.md

304 B

watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki

Hii mistari miwili kimsingi inamaanisha kitu kimoja na kusisitia kwamba adui atawanyakua watu kama watu wakatavyo samaki. "kuwashinda wote na kuwalazimisha kwanda nao pamoja" au "kuwaweka juu ya ndoana kama samaki na kukuchukua."