forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
430 B
Markdown
16 lines
430 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo, kama mfungwa , anaanza safari kwenda Rumi
|
|
|
|
# Taarifa
|
|
|
|
Neno sisi linamaanisha Luka mwandishi pamoja na Paulo na wasafiri wengine waliosafiri na Paulo
|
|
|
|
# Taarifa
|
|
|
|
Adramitamu ni mji uliokuwa pwani ya uturuki ya sasa
|
|
|
|
# Wakawaeka Paulo na wafungwa wengine chini ya mashitaka ya Julio wa kikosi cha Agustani
|
|
|
|
Maaskari wa kirumi wakamweka kwa afisa Julias wa Agustani kwa mkuu wa Paulo na wafungwa wengine.
|