sw_tn/act/26/22.md

16 lines
274 B
Markdown

# Maelezo yanayounganisha
Paulo akamaliza kujitetea kwa Mfalme Agripa
# Ambayo manabii
Paulo anamanisha maandishi yaliyokusanywa ya Manabii wa Agano la kale.
# Kwamba Kristo atateseka
"Kwamba kristo atateseka na kufa"
# kutangaza mwanga
Kutangaza ujumbe wa ukombozi"