sw_tn/act/24/26.md

492 B

Paulo angempa fedha

Feliki alikuwa na matumaini Paul atatoa rushwa ili amwachie huru.

hivyo mara nyingi alimwagizia na kuongea naye

"hivyo Feliki mara nyingi alimwagizia Paulo aletwe azungumza naye"

Porkio Festo

Huyu alikua Gavana mpya wa Rumi aliyechukua nafasi ya Feliki.

alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi

Hapa "Wayahudi" inamaanisha viongozi wa Wayahudi. "alitaka viongozi wa Wayahudi wampende"

alimwacha Paulo aendelee kuwa chini ya ulinzi

"alimwacha Paulo gerezani"