sw_tn/act/24/14.md

903 B

Nakiri hili kwenu

"Mimi nakiri hili kwako" au "ninatubu hili kwako"

wanaita dini

"wanaita kundi la wazushi"

kwa namna ile namtumikia Mungu wa babu zetu

Hii inamaana kwamba Paulo anadai kufuata dini ya kale, ambayo kwa ufafanuzi si dini mpya, "madhehebu."

kama watu hawa

Hapa "watu hawa" inahusu Wayahudi ambao ndio wanamtuhumu Paulo mahakamani.

ufufuo ujao wa wafu....kwa wote wenye haki na wasio na haki.

neno "ufufuo" linaweza kutumika kama "Kurudishwa katika maisha na Mungu." Na, neno "wafu" linaweza kuwa "wale waliokufa." "wakati Mungu akiwarudisha katika uhai wale wote waliokuwa wamekufa"

wasio wa haki

"wale waliofanya mambo mabaya"

Nafanya kazi

"Nafanyakazi vizuri"

kuwa na dhamiri bila lawama

Hapa "dhamiri" inahusu maadili ndani ya mtu kuwa akiamua kati ya mema na mabaya. "kuwa bila lawama" au "daima kutenda haki"

mbele za Mungu

"Katika uwepo wa Mungu"