forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
894 B
Markdown
28 lines
894 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Fungu hili linazungumzia juu ya Anania, baadhi ya wazee na Tetulo
|
|
|
|
# Lakini nisikuchoshe zaidi
|
|
|
|
Maana inawezekana ni 1) "ili mimi nisichukue sana muda wako" au 2) "Hivyo kwamba nisikufunge."
|
|
|
|
# kwa wema waka nisikilize kwa ufupi
|
|
|
|
"kusikiliza hotuba yangu fupi"
|
|
|
|
# Tumegundua kwamba mtu huyu mkorofi
|
|
|
|
neno "sisi" inamaanisha Anania, wazee kadhaa na Tertulo. "sisi tulimshuhudia Paulo" au "tuligundua kwamba Paulo chazo cha matatizo"
|
|
|
|
# Wayahudi wote kila mahali duniani
|
|
|
|
neno "wote" hapa ni kuongezewa chumvi kama kisingizio cha kumshtaki Paulo. "Wayahudi wote duniani kote"
|
|
|
|
# Tena ni kiongozi wa madhehebu ya Wanazorayo
|
|
|
|
Neno "dhehebu la Wanazarayo" ni jina jingine kwa wakristo "Mtu huyu anaongoza makundi ya watu wafuasi wa madhehebu ya Wanazarayo""
|
|
|
|
# dhehebu
|
|
|
|
hili ni kundi dogo ya watu ndani ya kundi kubwa. Tertulo anaona Wakristo kuwa kundi dogo ndani ya Uyahudi.
|