sw_tn/act/20/22.md

782 B

nikiwa ninamtii Roho Mtakatifu kuelekea Yerusalemu, nisiyajue mambo ambayo yatanitokea mimi huko,

Hapa anaongelea juu ya Roho Mtakatifu akimshawishi Paulo kwenda Yerusalemu kama vile Roho Mtakatifu alikuwa amemfunga mfano wa mtumwa.

Roho Mtakatifu hunishuhudia mimi

Roho Mtakatifu amewasilisha maonyo haya kwangu

minyororo na mateso ndivyo vinavyoningojea

Mimi nahusika kufungwa jela kwa minyororo na kuteswa katika kifungo.

ili niweze kumaliza mwendo wangu na huduma niliyopokea kutoka kwa Bwana Yesu

Paulo anatumia mfano waq mashindano. Ili kukamilisha kazi ambayo Mungu aliiweka kwa ajili ya yake kuifanya

kuishuhudia injili ya neema ya Mungu

"kuwaambia watu habari njema kuhusu neema ya Mungu. Hii ndiyo huduma ambayo Paulo alikuwa ameipokea kutoka kwa Yesu.