sw_tn/act/18/16.md

828 B

Taarifa za jumla

Fungu linaelezea watu wamataifa mbele ya baraza. Waliitikia kinyume cha wayahudi waliokuwa wamemleta Paulo mbele ya kiti cha hukumu.

Galio aliwafanya wote waondoke mbele ya kiti cha hukumu

Galio aliwaaga waondoke mbele yake na kiti chake cha hukumu.

wote wakamkamata

Hali hii ya kutia chumvi ni kusisitiza hisia kali watu waliyokuwa nayo . "watu wengi walimkamata" au "wengi wao walimshika"

Hivyo walimkamata Sosthene, kiongozi wa sinagogi, na kumpiga mbele ya kiti cha hukumu.

Inamaanisha 1)"Watu wa Mataifa walimpiga Sosthene mbele ya kiti cha hukumu kwasababu alikuwa kiongozi wa Kiyahudi. Au 2) Sosthene alikuwa Myahudi Mkristo hivyo wayahudi walipandwa na hasira juu ya imani yake na kumwadhibu mbele ya kiti cha hukumu.

wakampiga

Sosthene ilipigwa mwili wake ."kupigwa" au "kuumizwa".