sw_tn/act/18/14.md

261 B

Galio akasema

Galio alikuwa gavana wa Kirumi wa Mkoa.

sheria zenu

Hayo yalikuwa ni sheria ya Musa na desturi nyingine za kiyahudi wakati wa Paulo

Mimi sitamani kuwa hakimu kwa habari ya mambo hayo

Mimi nakataa kufanya hukumu kuhusiana na mambo hayo"