forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
434 B
Markdown
16 lines
434 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Paulo alianza mahubiri yake kwa wanafilosofia wa Areopago.
|
|
|
|
# weny dini hasa katika kila namna
|
|
|
|
Paulo alikuwa akirejea jinsi Waathene wanavyoonyesha hadharani kuheshimu miungu kwa sala, kujenga madhabahu na kutoa dhabihu
|
|
|
|
# kwani nilipokuwa nikipita
|
|
|
|
"kwasababu nilipotembea na kupita"
|
|
|
|
# KWA MUNGU ASIYEJULIKANA
|
|
|
|
Inaweza ikawa na maana zifuatazo 1) "mungu fulani asiyejulikana" au 2)"kwa mungu yeyote tusiyemjua
|