sw_tn/act/17/18.md

869 B

Waepikureo na Wastoiko.

Watu hawa waliamini mambo yote yalifanywa kwa bahati na kwamba miungu walikuwa na shughli zao na walifurahi kutobuguziwa katika kuiongoza ulimwengu. Walikataa ufufuo na walitaka maisha rahisi ya raha pekee.

Wanafalsafa wa Wastoiko

Watu hawa waliamini uhuru unatokana na kujiwekea mwenyewe hatima yako. Walikataa Mungu anayependa binafsi na ufufuo.

wakamkabili yeye

"walimkabii Paulo"

na baadhi wakasema

"na baadhi ya wanafilosofia wakasema"

Ni nini huyu msengeaji

'Babbler' ilitumika kwa kutaja ndege kuokota mbegu kama chakula. Ilihusu ubaya wa wasengenyaji. Wanafalsafa walisema Paulo alikuwa na baadhi ya habari ambazo hazikuwa na thamani ya kusikiliza

wengine wakasema

"Wanafilosopha wengine wakasema"

Inaonekana ni muhubiri

"Inaonekana ni mtu ayetangaza " au "anaonekana yuko katika umisheni wa kusambaza habari'