sw_tn/act/17/05.md

1.4 KiB

Maelezo ya jumla

Fungu hili linajadili juu ya Wayahudi wasioamini na wanaume wengine waovu kutoka sokoni.

waliojawa na wivu

"Ni hali ya wivu inayoleta msukumo ndani ya mtu" "Kuwa na wivu sana" au "Kuwa na hasira sana"

kwa wivu

Inaelezwa kuwa hawa Wayahudi walikuwa na wivu kwasababu baadhi ya Wayahudi wa Kiyunani wakiuamini ujumbe wa Paulo.

kundi maalumu la wanaume waovu

"baadhi ya wanaume waovu"

kutoka eneo la sokoni

"Kutoka eneo la wazi la mkusanyiko" Ni eneo la wazi la kufanyia biashara ya kuuza na kununua bidhaa, Ng'ombe au eneo la kutolea huduma.

kuusimamisha mji kwa ghasia

Mji kusimamisha kazi zake kutokana na ghasia.

wakaivamia nyumba

"Kuingia kwa vurugu na kuivamia nyumba kwa nguvu" . Hii inawezekana walikuwa wakiirushia mawe nyumba na kutaka kuvunya mlango wa nyumba.

Jason

Hili ni jina la mtu.

kuwaleta mbele za watu

"Kundi la watu Serikalini au kundi la watu raia wa nchi walikusanyika ili kufanya maamuzi"

mbele ya maofisa

"mbele ya Viongozi"

Hawa wanaume walio

Viongozi wa Kiyahudi waliongea wakimaanisha Paulo na Sila kwa kusema "Hawa wanaume"

walioupindua ulimwengu

Hiki Kifungu inawakilisha namna nyingin ya Kusema Paulo na Sila wanasabisha ghasia. Viongozi wa Kiyahudi wanatia chumvi juu ya ushawishi walionao Paulo na Sila katika mafundisho yao.

waliokaribishwa na Yasoni

Hii kifungu inaashiria kuwa Yasoni alikubaliana na mitume waliokuwa wakieneza ujumbe wa machafuko