sw_tn/act/14/23.md

1005 B

Taarifa ya Jumla:

Waliowachagua na kuwakabidhi kwa Bwana ni Paulo na Barnaba na walioamini ni wale walioongozwa kwa Bwana na Paulo na Barnaba.

Walipowachagua wazee katika kila kanisa

"Paulo na Barnaba walipochagua viongozi katika kila kundi jipya la waumini"

wakawakabidhi

Maana zinazowezekana ni 1) "Paulo na Barnaba wakawakabidhi wazee waliowachagua" au 2) "Paulo na Barnaba wakawakabidhi wazee na waumini wengine" (UDB)

ambaye walimwamini

Wale walioamini inategemea na chaguo lako la ni kina nani waliokuwa wanazungumziwa katika maelezo yaliyopita (mojawapo kati ya wazee au viongozi na waumini wengine).

wakaenda chini Atalia

Usemi "wakaenda chini" unatumika hapa kwa sababu Atalia iko chini kwa kimo kuliko Perge.

ambapo walikabidhiwa katika neema ya Mungu

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambapo waumini na viongozi Antiokia waliwakabidhi Paulo na Barnaba kwa neema ya Mungu" au "ambapo watu wa Antiokia waliomba kwamba Mungu awatunze na kuwalinda Paulo na Barnaba"