sw_tn/act/13/13.md

1.3 KiB

Sentensi unganishi

Hii ni sehemu mpya ya simlizi kuhusu Paulo akiwa Antiokia ya Pisidia

Maelezo ya jumla

Mistari ya 13 na 14 inatupa inatupa ufafanuzi wa simlizi hiyo.

Maelezo ya jumla

"Paulo na rafiki zake" Walikuwa Barnaba na Yohana Marko (aliyeitwa Yohana). Kutokea hapa na kuendelea, Sauli akaitwa Paulo katika Matendo ya Mitume. Jina la Paulo limeorodheshwa kwanza kuonyesha kuwa alikuwa kiongozi wa kundi. Ni muhimu kutunza mtiririko huu katika tafasiri.

Sasa

Linaonyesha mwanzo wa kipengere na simlizi mpya.

walisafiri majini kutoka Pafo

"Walisafiri kwa kutumia jahazi kutoka Pafo"

wakafika Perge katika Pamfilia.

"Walifika Perge iliyo Pamfilia"

Lakini Yohana aliwaacha

"Lakini Yohana Marko akawaacha Paulo na Barnaba"

Antiokia ya Pisidia.

"Mji wa Antiokia ni wilaya ya Pisidia"

Baada ya kusoma sheria

"Sheria na Manabii" Inamaanisha sehemu ya maandiko ya Wayahudi ambayo yalisomwa. 'Baada ya mtu mmoja kusoma kutoka vitabu vya sheria na maandiko ya Manabii"

waliwatumia ujumbe wakisema

"Wakiwaomba mmoja wao aseme neno"

Ndugu

Neno "ndugu" lilitumika wa watu katika Sinagogi kuwazungumzia Paulo na Barnaba kama Wayahudi wenzao.

kama mnao ujumbe wa kutia moyo

"Kama mnataka kutuambia jambo lolote la kututi moyo"

semeni

"Tafadhali mnaweza kunena"