sw_tn/act/12/03.md

854 B

Maelezo ya jumla

Neno la kiwakilishi hapa linamaanisha Mfalme Herode.

Baada ya kuona kuwa inawapendeza Wayahudi

erode alitambua kuwa mauaji ya Yakobo yalikuwa yamewafurahisha Wayahudi"

Kuwapendeza Wayahudi

"Wayahudi viongozi walipendezwa na tukio hilo"

Hiyo ilikuwa

"Herode alifanya hivi" au "Hii ilitokea"

Siku za mikate isiyochachwa

Inadokeza sikuku ya dini ya Kiyahudi ya Pasaka. "Ni muda huu Wayahudi walikuwa wakila mkate usiotiwa chachu."

vikosi vinne vya askari

"Vikosi vinne vya askari". Kila kikosi kilikuwa na askari wanne vilivyo mlinda Petro. Kila kikosi kimoja baada ya muda uliogawanywa katika saa ishrini na nne. kila mara askari wawili wangekuwa karibu na Petro alihali askari wawili wakiwa kwenye lango.

alikuwa akitarajia kumpeleka kwa watu

Herode alikuwa amepanga kumhukumu Petro mbele ya macho ya Wayahudi.