forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
776 B
Markdown
36 lines
776 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hapa tena panaanza mateso upya. tukio la kwanza ni la kuuawa kwa Yakobo na kisha kukamatwa kwa Petro na kutiwa gerezani na baadaye kuwa huru.
|
|
|
|
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Hii ni historia kuhusu Herode kumwua Yakobo.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Hii inaanzisha mwanzo wa simulizi.
|
|
|
|
# Wakati huo
|
|
|
|
Neno linalotambulisha wakati au kipindi cha njaa.
|
|
|
|
# akanyosha mkono wake
|
|
|
|
Inamaanisha Herode alikuwa ameanza kuwakamata waumini.
|
|
|
|
# wale wanaotoka kwenye kusanyiko
|
|
|
|
Ni Yakobo na Petro pekee wanatajwa kuashiria huwa hawa walikuwa viongozi wa kanisa la Yerusalemu.
|
|
|
|
# ili kuwatesa
|
|
|
|
"Kusababisha mateso kwa waumini"
|
|
|
|
# Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga.
|
|
|
|
Hii inaonyesha namna Yakobo alivyouawa.
|
|
|
|
# Akamwua
|
|
|
|
Inamaanisha ama "Herode Mfalme alimwua" au "Herode Mfalme aliagiza kuua."
|