sw_tn/act/11/07.md

912 B

nikasikia sauti

Sauti ilinena lakini bila yeyote kujidhihirisha. "Sauti" yawezekana ni Mungu, ingawa inawezekana kuwa ilikuwa sauti ya Malaika.

Siyo hivyo

"Siwezi kufanya hivyo" linganisha na sura 10:13.

mdomoni mwangu hakujawahi kuingia kitu chochote kisicho kitakatifu

Wanyama waliokuwa kwenye kitambaa walikuwa ni wanyama ambao sheria ya Wayahudi katika Agano la Kale iliwazuia wasiweze kuwala.

Kichafu

Katika Agano la Kale Sheria ya Wayahudi, mtu alionekana mchafu katika njia mbalimbali, kama vile kula wanyama waliokuwa hawaruhusiwi kuliwa.

kile Mungu alichokitangaza kuwa ni safi, usikiite najisi

Sentensi hii inaelezea juu ya wanyama waliokuwa kwenye kitambaa kikubwa cha pembe nne.

Hii ilitokea mara tatu

Si kila tukio lilirudiwa kuonekana mara tatu, Hata hivyo neno; "Kile Mungu alichokitakasa usikiite najisi" Ni neno lilijirudia mara tatu kwa Petro. Linganisha na sura 10:13.