forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
716 B
Markdown
20 lines
716 B
Markdown
# sauti ikasema kwake
|
|
|
|
Mtu anayeongea hajulikani. Pengine "sauti" alikuwa Mungu mwenyewe, ingawa inawezekana alikuwa Malaika kutoka kwa Mungu.
|
|
|
|
# Siyo hivyo
|
|
|
|
Petro anaapa "Sitafanya hivyo"
|
|
|
|
# sijawahi kula kitu chochote najisi na kichafu
|
|
|
|
Imetafsiriwa kuwa wanyama wanawakilisha wasio safi kama ilivyoelezwa na sheria ya Musa na walikuwa hawaliwi na waumini walioishi kabla ya kifo cha Kristo.
|
|
|
|
# Alichokitakasa Mungu
|
|
|
|
Kama Mungu ndiye msemaji, anajipambanua mwenyewe kwa nafsi ya tatu; "Kile ambacho Mungu alikitakasa"
|
|
|
|
# Hii ilitokea mara tatu
|
|
|
|
Si kwamba kila kitu alichokiona Petro kilitokea mara tatu. Hii inaweza kuwa na maana; "Kile ambacho Mungu alikitakasa" neno hili ndilo lilijirudia mara tatu mfurulizo.
|