sw_tn/act/09/20.md

542 B

Wakati huo huo akamtangaza Yesu

ukumu la kumtangaza Yesu, punde alianza kulifanya.

Akisema kuwa Yeye ni mwana wa Mungu

"Yeye" inaashiria kuwa ni Yesu. Sauli, Baada ya kumwamini Yesu na kumjua Yesu kama 'mwana wa Mungu"

Wote waliomsikiliza

Wengi walipata kusikia habari zake.

Sio mtu yule aliyewaharibu wote wa Yerusalemu walioliitia jina hili?

Hii ni kejeli na swali hasi linalomwelezea Paulo kuwa hakika alikuwa mtu ambaye aliwatesa waamini. "Huyo ni mtu ambaye aliwaharibu wote wa Yerusalemu walioliitia jina hili la Yesu!"