forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
760 B
Markdown
28 lines
760 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Baada ya Kuhani Mkuu kumpatia Sauli barua, Sauli alisafiri kuelekea Dameski.
|
|
|
|
# Hata alipokuwa akisafiri
|
|
|
|
Sauli aliondoka Yerusalemu na kuelekea Dameski.
|
|
|
|
# Ilitokea kwamba
|
|
|
|
Haya ni maelezo yanayobadisha simulizi kuonyesha kwamba jambo la tofauti litatokea.
|
|
|
|
# ikaangaza kotekote nuru kutoka mbinguni
|
|
|
|
"nuru kutoka mbinguni ikawangaza kotekote"
|
|
|
|
# Kutoka mbinguni
|
|
|
|
Inaweza kuwa na maana kuwa; 1) Mbinguni, mahali Mungu anaishi au 2) Anga.
|
|
|
|
# Akaanguka chini
|
|
|
|
Inawezekana kwamba 1)"Sauli alianguka pekee yake chini"au 2)"Mwanga ulisababisha yeye kuanguka chini"au 3)Sauli alianguka chini kama yeyote ambaye huanguka,"Sauli hakuanguka kwa bahati mbaya.
|
|
|
|
# Kwa nini unaniudhi ?
|
|
|
|
Bwana alimkemea Sauli katika hali ya swali. "Unaniudhi mimi!"
|