sw_tn/act/07/57.md

402 B

wakaziba masikio yao

Waliziba masikio yao wasiweze kusikia zaidi alichokuwa akisema Stefano.

Nguo za nje

mavazi ya nje au nguo mojawapo walizokuwa wakivaa juu ya nguo zingine.

Wakamtupa nje ya mji

baraza la wazee wakampiga Stefano wakamkamata kwa nguvu na kumtupa nje ya mji

miguuni mwa

"mbele ya "kwa kusudi la kuzilinda

kijana

Sauli alikuwa na umri wa kati ya miaka 30 wakati ule.