sw_tn/act/07/51.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Kwa karipio kali, Stefano anamalizia kumjibu Kuhani Mkuu na baraza kwa staili ile aliyoanza nayo sur 7:1.

Enyi watu wenye shingo ngumu

Shingo ngumu -Stefano alibadilisha kutoka utambulisho wa viongozi wa Kiyahudi na kuwakemea

shingo ngumu

Shingo ngumu -Hii haina maana walikuwa na shingo ngumu, lakini anawaambia kuwa walikuwa wasumbufu.

moyo usiotahiriwa

Moyo usiomtii Mungu. Wayahudi walilitumia neno kwa watu wasio na tohara ni sawa na watu wasiomtii Mungu. Stefano alitumia "moyo' na "masikio" kuwakilisha Wayahudi viongozi waliotenda kwa namna ya watu wa mataifa walivyokuwa wakitenda. Viongozi hawa hawakumtii na wala kumsikiliza Mungu.

Ni manabii wapi baba zenu hawakuwatesa?

Stefano aliuliza swali kuwaonyesha kwamba hakujifunza chochote katika makosa ya baba zao. "Baba zao waliwatesa kila nabii"!

Mmoja mwenye Haki

Anamaanisha juu ya Kristo, Masihi.

mmekuwa wasaliti na wauaji wake pia,

"Mlimsaliti na kumwua"

sheria ile iliyoagizwa na malaika lakini hamkuishika.

"Sheria ambazo Mungu alizituma kwa Malaika kuwaba baba zetu.