sw_tn/act/07/44.md

575 B

Hema la kukutania la ushuhuda.

hema ambalo lilijengwa kulifunika sanduku lililokuwa na amri kumi zilizochorwa kwenye mawe na kuwekwa ndani ya sanduku.

Kumiliki Taifa

Hii itajumuisha nchi ,majengo,wanyama na vyote na miliki zote za taifa ambalo Israeli walikuwa wakiwashinda maadui na kuchukua nyara.

Hii Ilikuwa hivi mpaka siku za Daudi

Sanduku la agano lilibaki kwenye hema na ilijumuisha muda wa Daudi, mfalme wa Israeli

Mahali pa makao ya Mungu wa Yakobo

Daudi alitaka sanduku la agano likae Yerusalemu, siyo litangatange kwenye hema kuwazunguka Israeli