forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
796 B
Markdown
28 lines
796 B
Markdown
# Wakati wa ile ahadi ambayo Mungu alimwahidi Abrahamu ulipokaribia, watu wakiwa wameongezeka huko Misri,
|
|
|
|
Katika baadhi ya lugha zingine inaweza kuwa msaada ikisomeka; Idadi kubwa ya watu ilipoongezeka, badala ya kusema; muda wa ahadi ulipowadia.
|
|
|
|
# Muda wa ahadi ulipokaribia
|
|
|
|
Ulikuwa umekaribia muda ambao Mungu angetimiza ahadi yake kwa Ibrahimu.
|
|
|
|
# aliinuka mfalme mwingine
|
|
|
|
falme mwingine alianza kutawala
|
|
|
|
# Juu ya Misri
|
|
|
|
"Misri" inasimama badala ya watu wa Misri. "Watu wa Misri"
|
|
|
|
# Nani asiyejua kuhusu Yusufu
|
|
|
|
"Yusufu"inarejea sifa njema ya Yusufu. "Nani hakujua kuhusu mamlaka ya Yusufu huko Msri."
|
|
|
|
# Waliwatenda mabaya baba zetu.
|
|
|
|
"Waliwatenda mababu zetu kimaskini"au" "walichukua faida kwa mababu zetu"
|
|
|
|
# Waliwatupa watoto wao wachanga
|
|
|
|
kuwatupa watoto wao wachanga ili wasiishi
|