sw_tn/act/04/11.md

805 B

Sentensi unganishi

Petro anahitimisha hotuba yake kwa viongozi wa dini ya kiyahudi aliyoianza

Yesu Kristo ni jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilidharau, lakini ambalo limefanywa kuwa jiwe kuu la pembeni.

Petro ananukuu kutoka Zaburi, akimaanisha viongozi wa Kiyahudi, kama wajenzi, waliomkataa na Yesu, lakini Mungu alimfanya kuwa wa muhimu zaidi katika ufalme wake, kama jiwe la pembeni katika ujenzi lilivyo la muhimu.

ninyi wajenzi mlilidharau

"Ninyi wajenzi mlimkataa"

Hakuna wokovu katika mtu mwingine awaye yote

Yesu ni mtu pekee aliye na uwezo wa kuokoa

Kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa watu

Hii inamaanisha, hakuna Jina jingine chini ya mbingu Mungu amswapa wanadamu.

ambalo kwa hilo tunaweza kuokolewa.

J"ina ambalo laweza kuokoa au ambaye aweza kuokoa"