sw_tn/2ti/03/08.md

862 B

Yanne na Yambre

Majina haya mawili yanapatikana kwenye Biblia tu. Moja ya Mila inawaita kama waganga wa Misri waliokuwa wakimpinga Musa katika kitabu cha Kutoka 7-8.

Walisimama Kinyume

" Kupinga"

Sentensi unganishi

Paulo anawapa mfano wa walimu wawili wa uongo toka nyakati za Musa na kuonyesha namna watu watakavyokuwa. Anamsisitiza Timotheo kufuata mfano wa Paulo na kukaa katika neno la Mungu.

wako kinyume na kweli

"wanapinga injili ya Yesu"

Wamepotoka akili zao

"Hawawezi kufikiri kwa usahihi tena"

Kuendelea

" Kusonga mbele/ kupiga hatua"

Upumbavu

"Kutokuwa na uelewa" au " Upuuzi"

Dhahiri

"kuonekana wazi" au "kueleweka wazi"

Wasiokubalika kutokana na imani

Wanajaribiwa ni kwa namna gani wanamwamini Kristo na kumtii yeye na wakashindwa jaribu hilo. "bila imani ya kweli" au "wamethibitisha kuwa imani yao sio thabiti"