sw_tn/2ti/03/05.md

986 B

kuwa kama wacha Mungu

"Onekana kama wapenda dini au onekana kama wenye haki" au "Onekana kama watu wema"

Wataikana nguvu yake.

" Inamaana ya kuwa 1) "Wataikataa na wala hawataikubali nguvu ambayo Mungu alitaka kuwapatia" au 2) " Maisha yao hayataonesha udhibitisho wa ki Mungu kama wanavyodai".

Kutoka kwenye welekeo sahihi

" Kuepuka"

Watakao ingia kwenye familia

"Wakiingi katika nyumba na kushawishi sana"

Wanawake wapumbavu

"Wanawake ambao ni wachanga kiroho". Hii inaweza kuwa kwa sababu wanashidwa kutulia au kwa sababu hawana kazi au kwa sababu wamejawa na dhambi".

Waliojawa na dhaambi.

Maana zake ni 1) " Waliojawa na mizgo ya dhambi" au 2) " wanaotenda dhambi kila mara". Dhana kuu au wazo ni kwamba, hawawezi kuepukana na kutenda dhambi.

Wanaoongozwa na tamaa za kila aina.

Wanawake hawa hutamani vitu vingi kana kwamba wanaacha kumwabudu Kristo" au " Wanawake hawa wanaacha kumwabudu Kristo na badala yake wanaviendea vitu vingine wavitamanivyo."